"Sugar" كلمات الاغنية
"Sugar" لها كلمات في السواحيلية لغة.
يأتي المعنى "Sugar" من لغة السواحيلية ولم يتم تحويله حاليًا إلى الترجمة الإنجليزية.
Sweet like a kuku
tamu sana
sweet like a soup
am going to die
kwenye dimbwi sijiwezi
nimezama
mi corazon
my baby banana
penzi hulifichi kama ni sindano
itachoma
mi siambiliki hata wakaniroge
kigoma
ukiugusa mwili wangu
nashituka moyo paah
mpenzi wangu nishike
nisije nikapaa
kama mvua na mawingu
kama mwezi na anga
sina jambo
kwa jinsi
umenikamata
tena usinipege kiduchu
(Sugar x3)
my life is nothing without you
(Sugar x3) X2
mmmh mmh
nikoleze my darling eh
na tukichoka tuka lale
wanasema hatari eh
lakini me nimekubari eh
kileleni ndo pale
basi tufike sare sare
shika ndizi mshare
nikuvue kama kambale
vile hawapumui
wakerekwa maadui
hao wanafki
watajua hawajui
ukiugusa mwili wangu
nashituka moyo paah
mpenzi wangu
nishike nisije nikapaa
kama mvua na mawingu
kama mwezi na anga
sina jambo
kwa jinsi umenikamata
tena usinipege kiduchu
(sugar x3)
my life is nothing without you
(sugar x3) X2
PRODUCTION⬇️
Produced by Mocco Genius
Graphics by
CONTACTS⬇️
Email: realjaymelodybookings@
Phone: +255 654 936 190
Instagram: